Kwa mujibu wa mmoja kati ya viongozi wake WCB, alikiambia chanzo kuwa tukio hilo haliitaji maparazi kwani wameliweka kifamilia zaidi. Hata hivyo Diamond ali share hata video kwa mashabiki wa muziki wake kuonyesha namna walivyompokea msanii huyo.
Kwa sasa Rich Mavoko anatamba na video yake mpya ya wimbo ‘ibaki stori’ ambayo ilizinduliwa jana baada ya kusaini mkataba na WCB.
No comments: