Usiku wa Alhamisi hii, mkali wa muziki Shetta aliweza kuandaa sherehe maalum ya kuwashukuru mashabiki wake wa muziki kwa kumfikisha hapo alipo sasa, ambapo pia aliweza kutumia nafasi hiyo kumtambulisha meneja wake mpya Michael Mlingwa ‘MX’. Pia Shetta aliweza kuwaburudisha mashabiki wake kwa kuimba wimbo ‘Namjua’.
Hi there! I am Hung Duy and I am a true enthusiast in the areas of SEO and web design. In my personal life I spend time on photography, mountain climbing, snorkeling and dirt bike riding.
No comments: