Thursday, 2 June 2016

#VIDEO: Rich Mavoko rasmi WCB, kasainishwa rasmi leo June 02 2016



June 2, 2016 label ya Wasafi inayomilikiwa na staa Diamond Platnumz inaingia kwenye headlines za Bongo Fleva baada ya kumtambulisha rasmi  msanii  wao mpya  Rich Mavoko ambaye anakuwa ni msanii wa nne atakayesimamiwa kazi zake katika label hiyo.

No comments:

Leave a Reply