
Uhusiano wa wawili hao hauna hata mwezi tangu uweke bayana.
Akiongea na kipindi cha The Premier cha Kings FM, Harmonize alisema hajali watu wanavyosema kuwa Wolper ana umri mkubwa kumzidi.
Msikilize zaidi hapo chini akiongelea mahaba yake na Wolper.
No comments: